CORRECT LYRICS

Lyrics : Subira

Nilipenda musichana
Jina lakee subira
Pendo letu liling'aaa

Mwaka wa kwaaanza wa ndoa
Kanizaliia kijana
Penzi likawa sawaaa

Wazazi wangu na wakee
Walipendaaana sana
Heshima kifamiliaaa

We kidosho wa afrika musichana tabia kwako niliridhikaa

Oooooohoooohooo
Bye bye bye bye byeebyee
Paparampapam paparampapam
Bye bye oooouuuu bye bye
Paparampapam paparampapam
Bye bye oooouuuu bye bye
Byeee bbbyyyyyeeee

Mmmmh kama ndoa ilivyo
Uzuri na ubaya aa
Ubaya katokeaaa
Msichana wa geti kali atakulaje sukuma
Jirani wamuchekaaaa
Akaanza kusonyasonya na kukunja sura msichana kaniwachaa