CORRECT LYRICS

Lyrics : Mapacha

Mapacha hawatenganishwi kalmu nami muandishi muandishi
Usinilenge mi malanga aa
Sina mengi mimi nina shairi mashairioooh wajua nakupendaaa, wajua nakulinda musichana wa afrika
Wajua nakupendaaa, wajua nakulinda we kidosho wa afrikawe uje nizalie musichana
Nami nikupe wewe kijana
Penzi linawiri nakamwe tusilisalitiii
Sina mengi mm nina shairi mashairi wwoouuuu! wo wo woouuux2
Ooooh ni wewe tuu, ni wewe napeeendaa niwewe wewe
Ni wewe nataka
Africa nzima yakutamani ni weweee ni wewe wewe wewe wewe wewe eeee