CORRECT LYRICS

Lyrics : Dozi

Shii! The African Princess
(It's S2kizzy beiby)

Yaani tushawaloga waloshika manyanga
Si walipaka powder na chale wakachanja
Na kwenye videnge udaku kwa madot ya kanga
Nawatupa kwenye uchafu kama ganda la karanga
Ooh yayeee

Imegeuka shilingi wanalia
(Wameyamwaga)
Walidhani magimbi kumbe bia
(Wameyavaga)



(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});

So wapaka wino, machino
Wenyewe wamechimba shino
Moja jino kwa kisigino
Wamemwaga tela nawazidi kimo

Ooh yeah hatucheki na ndesi
Ni mwendo wa dozi
Kama wagonjwa nawapa ulezi
Ooo yeah hatuwapi ulezi

(It's S2kizzy beiby)
Nikimake navimba kibaharia
Kamba kwa buti nakazia
Wakipiga kinuti napangua
Kwa kubwa washow wanakaliwa



(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});

Naitekenye kete
Wakipangua cheche
Miluzi makeke
Mteja na kete

Saluti! Kuruti
Katekenye kacheka ka nyoti
Bunduki, Baruti!
Utapepea ka parachuti

So wapaka wino, machino
Wenyewe wamechimba shino
Moja jino kwa kisigino
Wamemwaga tela nawazidi kimo

Ooh yeah hatucheki na ndesi
Ni mwendo wa dozi
Kama wagonjwa nawapa ulezi
Ooo yeah hatuwabembelezi