CORRECT LYRICS

Lyrics : Acha Lizame

Nirusuru chuku chuku
Ni sasa umole
Mi naning’inia
Kwa marati nipopoe

Niruchu nipe tena baba niue
Mi nakuzimia
Usizingue unisumbue wewe

Mapenzi yetu
Ni ya mimi na wewe tu
Usiskize watu
Wananyongwa mbaya



(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});

Basi nifanyie kitu na boxy
Usiku nipe shoti
Ama ishike magoti
Nilemshe mkomboti

Ooh ah mi mwenzako imeshanikolea
My baby boy
Ooh ukienda zako mi nitanyong’onyea

Ooh ah mi mwenzako imeshanikolea
My baby boy
Ooh ukienda zako mi nitanyong’onyea



(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});

Acha lizame
Me ndio napendaga giza giza kama ujanizoea
Acha jua lizame
Pana raha ya kuingiza ujue inapotokea

Acha lizame
Unapenda vya giza giza kama ujanizoea
Acha jua lizame eeh

Mama unafanya tembo
Kutwa nadindisha mkonga
We ndo kiboko ya warembo
Wale wanaojipitisha kitonga

Penye dhiki na shuruba
Mikeko ndo ulinikumbata
Piki piki upande Ubber
Popote nilipo ukanifwata

Lakini bado wananiita mzugaji, nilingojea
Usingizi hata yako mahitaji, nilingojea
Sina biashara mtaji, nilingojea
Ulisema mola ndo mpaaji, nilingojea

Ooooh bana nipande tumwage mbolea
Baby oh uh oh ah
Ukitaka tena tutaendelea

Oh oh ooh
shamba mwaga maji nimwage mbolea
My baby oh uh oh ah
Ukitaka tena tutaendelea

Acha lizame
Me ndio napendaga giza giza kama ujanizoea
Acha jua lizame
Pana raha ya kuingiza ujue inapotokea

Acha lizame
Unapenda vya giza giza kama ujanizoea
Acha jua lizame eeh
Whine nimekuuliza
Bora ningejitengea oh nana

Me ndio napendaga giza giza kama ujanizoea
Pana raha ya kuingiza ujue inapotokea
Unapenda vya giza giza kama ujanizoea
Asa whine nimekuuliza
Bora ningejitengea Konde Boy