ENVIAR LETRAS
Top 100
Lançamentos de álbuns
Artistas
Comunidade
francês
Espanhol
Português
corrija a letra Letra
Dozi
por
Nandy
Retornar
Letra
Shii! The African Princess (It's S2kizzy beiby) Yaani tushawaloga waloshika manyanga Si walipaka powder na chale wakachanja Na kwenye videnge udaku kwa madot ya kanga Nawatupa kwenye uchafu kama ganda la karanga Ooh yayeee Imegeuka shilingi wanalia (Wameyamwaga) Walidhani magimbi kumbe bia (Wameyavaga) (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); So wapaka wino, machino Wenyewe wamechimba shino Moja jino kwa kisigino Wamemwaga tela nawazidi kimo Ooh yeah hatucheki na ndesi Ni mwendo wa dozi Kama wagonjwa nawapa ulezi Ooo yeah hatuwapi ulezi (It's S2kizzy beiby) Nikimake navimba kibaharia Kamba kwa buti nakazia Wakipiga kinuti napangua Kwa kubwa washow wanakaliwa (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Naitekenye kete Wakipangua cheche Miluzi makeke Mteja na kete Saluti! Kuruti Katekenye kacheka ka nyoti Bunduki, Baruti! Utapepea ka parachuti So wapaka wino, machino Wenyewe wamechimba shino Moja jino kwa kisigino Wamemwaga tela nawazidi kimo Ooh yeah hatucheki na ndesi Ni mwendo wa dozi Kama wagonjwa nawapa ulezi Ooo yeah hatuwabembelezi
vídeo de música
Seu nome será publicado. Deixe os campos em branco para permanecer anônimo.
Enviar
Modal title
×
Adicionar mídia
Video URL?
(YouTube, Vimeo, Instagram, DailyMotion, Soundcloud)
×
Lembre de mim
Senha perdida
Entrar
Registrarse