ENVIAR LETRAS
Top 100
Lanzamientos de álbumes
Artistas
Comunidade
Francés
Portuguese
Inglés
Corrección Letra
Dozi
par
Nandy
Regreso
Letra
Shii! The African Princess (It's S2kizzy beiby) Yaani tushawaloga waloshika manyanga Si walipaka powder na chale wakachanja Na kwenye videnge udaku kwa madot ya kanga Nawatupa kwenye uchafu kama ganda la karanga Ooh yayeee Imegeuka shilingi wanalia (Wameyamwaga) Walidhani magimbi kumbe bia (Wameyavaga) (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); So wapaka wino, machino Wenyewe wamechimba shino Moja jino kwa kisigino Wamemwaga tela nawazidi kimo Ooh yeah hatucheki na ndesi Ni mwendo wa dozi Kama wagonjwa nawapa ulezi Ooo yeah hatuwapi ulezi (It's S2kizzy beiby) Nikimake navimba kibaharia Kamba kwa buti nakazia Wakipiga kinuti napangua Kwa kubwa washow wanakaliwa (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Naitekenye kete Wakipangua cheche Miluzi makeke Mteja na kete Saluti! Kuruti Katekenye kacheka ka nyoti Bunduki, Baruti! Utapepea ka parachuti So wapaka wino, machino Wenyewe wamechimba shino Moja jino kwa kisigino Wamemwaga tela nawazidi kimo Ooh yeah hatucheki na ndesi Ni mwendo wa dozi Kama wagonjwa nawapa ulezi Ooo yeah hatuwabembelezi
videoclip
Tu nombre será publicado. Deje los campos en blanco para permanecer en el anonimato.
Enviar
Modal title
×
Insertar medios
Video URL?
(YouTube, Vimeo, Instagram, DailyMotion, Soundcloud)
×
Recuérdame
Contraseña perdida
Conectarte
Registrarse