CORRECT LYRICS

Lyrics : Wasikudanganye

Wasikuambie kwamba mimi ati sina lolote
Labda wakuambie sina ujanja juu yako
Wasikudanganye watakupa utakacho chochote
Wataitoa wapi furaha yako

Maana wabaya hawatoki mbali
Jirani yako we ndio anapenda usile
Hawatokubali kuona bendera ya penzi lako inapepea
Hawatokujali kipindi ambacho mawazo yanafanya usile
Watakutupia mbali, hmm

Siulisema unataka gari na nimekubali
Kuenyeka mimi mie
Tule mbegu na ugali kesho tutapata
Kipenzi nivumilie
Ukinitema itakuwa ni hatari utanipa na ajali
Kitanzi nining'inine
Si tumetoka mbali mazoea

Na ushakuwama huoo (moyo moyo)
Wangu mimi unauendesha (moyo moyo)
Funga macho na masikio ziba (moyo moyo)
Usiwasikie usiwaone pia (moyo moyo)
Umegota kwako, moyo wangu (moyo moyo)
Hauuu, uuuh (moyo moyo)
Usiwaone pia

Kukosa majaribu moyo usije tia donda ukauchubua
Maumivu yaniadhibu kisa upendo furaha yangu ukaichukua
Kwenye kosa niadhibu nami mwanadamu siku ntakosea
Kukuacha sijaribu wapi niende nami kwako nishajifia
Ila usifanye kama fimbo, ufanane na tindo
Ukashindwa kujali maumivu yangu

Siulisema unataka gari na nimekubali
Kuenyeka mimi mie
Tule mbegu na ugali kesho tutapata
Kipenzi nivumilie
Ukinitema itakuwa ni hatari utanipa na ajali
Kitanzi nining'inine
Si tumetoka mbali mazoea

Na ushakuwama huoo (moyo moyo)
Wangu mimi unauendesha (moyo moyo)
Oh funga macho na masikio ziba (moyo moyo)
Usiwasikie usiwaone pia (moyo moyo)
Umegota kwako, moyo wangu (moyo moyo)
Auuu uuh... (moyo moyo)
Uh moyo!
Moooyo!

Haaah, ah moyo...
(Moyo moyo) wangu mimi
(Moyo moyo) funga macho, yeah yeah
(Moyo moyo) oh baby, eeh eeh
(Moyo moyo) funga macho...
Ah, funga macho...
Heeeei, funga macho

The African princess!