CORRECT LYRICS

Lyrics : Sina Nyota

Mokko

Mwenyewe anaona sawa ila mwambie
Mime ananiumiza sana
Ni zaidi ya kupagwa siponi ugonjwa
Na nishamaliza dawa

Aahhh ahhh
Ahh ahh ah
Na ajue bado nipo ila hali yangu
Hoi hoi sina mabadiliko
Machozi mafuriko fundi wa jiko langu
Kaniacha maawe paka kalamba mwikoo



(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});

Toka alivyo niacha
(Nyota mbalamwezii)
Mwenzake nimekamatwa
(Na homa ya mapenzi)
Toka alivyo niacha
(Nyota mbalamwezii)
Mwenzake nimekamatwa
(Na homa ya mapenzi)

Mwili tepetepeka
Dina hafadhali mawazo yanitesa
Bavu dabo deka
Dega misumari na nathoofika
Mwili tepetepeka
Dina hafadhali mawazo yanitesa
Bavu dabo deka
Dega misumari na nathoofika

Bado ndondondondo chururu
Nkijaza akijai kibaba
Na mi songo songo msururu sita haikai sabaa



(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});

Mimi kituru ya kunguru
[?] hazinipi msaada
Macombe shaogadawaka susuru
Huenda kasaau labda

Kitandani mito ipo miwili
Ubavu wewe Ubavu mimi
Pakata nikonde kwa shubiri
Nali kwepa nala na jini
Nimefuta picha tulizopiga chumbani
Ila bado zanisuta suta zimebaki kichwani
Sila li nashtuka shtuka unaniita kizani
Chozi lalowesha shuka na sina wa kunifuta nani

Toka alivyo niacha
(Nyota mbalamwezii)
Mwenzake nimekamatwa
(Na homa ya mapenzi)
Toka alivyo niacha
(Nyota mbalamwezii)
Mwenzake nimekamatwa
(Na homa ya mapenzi)

Mwili tepetepeka
Dina hafadhali mawazo yanitesa
Bavu dabo deka
Dega misumari na nathoofika
Mwili tepetepeka
Dina hafadhali mawazo yanitesa
Bavu dabo deka
Dega misumari na nathoofika