CORRECT LYRICS

Lyrics : Unachezaje

Ladies and gentleman
Now the moment you've all been waiting for
The world famous...
Eh eh
Zombe, oh
S2Kizzy, baby

Aga
Mfukoni nina kiti (mati)
Mkononi kai (mati)
Nasikia kuna kiki (wapi?)
Nije kujimwaga (kati)
Oh, haitoshi
Kalitaka Simba la baba kaletewa
Oh my gosh
Sasa kazima anataka kubebewa
Oh, haitoshi
Kalitaka Simba la baba kaletewa
Oh my gosh
Sasa kazima anataka kubebewa

Nionyeshe unachezaje (unachezaje)
Unachezaje (unachezaje)
Kwani unachezaje (unachezaje)
Unachezaje
Asa nionyeshe unachezaje (unachezaje)
Unachezaje (unachеzaje)
Kwani unachezaje (unachеzaje)
Unachezaje (unachezaje)
Ilikwa mbili 4, 4
Pale pale (pale pale)
Dawa ya show, show, show
Nahisi ndale (nahisi ndale)
Peleka
Vuta
Taratibu songa pupa
Dereva
Shusha
Hapo mbele kwenye kuta
Eh...huu ni mti gani (wa Mchongaoma)
Ukiukata (haukatiki)
Sisi ni mti gani (wa Mchongaoma)
Wakitukata (hatukatiki)

Nionyeshe unachezaje (unachezaje)
Unachezaje (unachezaje)
Kwani unachezaje (unachezaje)
Unachezaje
Asa nionyeshe unachezaje (unachezaje)
Unachezaje (unachezaje)
Kwani unachezaje (unachezaje)
Unachezaje (unachezaje)
Asa po po li po li po po po po po li po li po la
(Po po li po li po po po po po li po li po la)
Po po li po li po po po po po li po li po la
(Po po li po li po po po po po li po li po la)
Waambie chombo (kinapepea)
Eh, chombo (kinapepea)
Huwaga chombo (kinapepea)
KIle chombo (kinapepea)

Aweh...
Acha
Aweh...
Ah...

Huo mnazi (unakatika)
Mnazi (unakatika)
Mama mnazi (unakatika)
Ona mnazi (unakatika)
Ukitaka kukatika hukatika kati kati katika...
Huo mjumba (unabomoka)
Mjumba (unabomoka)
Mama mjumba (unabomoka)
Ona mjumba (unabomoka)
Ukitaka kubomoka hubomoka bo bo bo bo bo bo bo...
(Mix Lizer)