CORRECT LYRICS

Lyrics : Mapenzi Basi

(A-A-A, AM Records)
This is crazy
But, I just wanna tell you
How badly my heart is breaking
This is absolutely painful for me to say
'Damn’

Mi mwenzenu tena basi
Oh, mapenzi sitaki
Oh, mwenzenu tena basi
Basi
Sitaki
Mi mwenzenu tena basi
Oh, mapenzi sitaki
Oh, mwenzenu tena basi
Basi
Sitaki

Yalinifanya nikaugua
Mara napanga napangua
Mwili ukakonda nikapungua
Ah, sikulala (sikulala)
Oh, maradhi nikaugua, oh oh
Yakanichoma na kuungua roho
Kutwa nawaza na kuwazua
Sikulala...
Eh
Haya mapenzi bwana
Hayana maana
Yalinifanya mi nichekwe
Sababu yake nshagombana
Nikatukanwa
Lakini akanipiga teke
Aiih
Haya mapenzi bwana
Hayana maana
Yalinifanya mi nichekwe
Sababu yake nshagombana
Nikatukanwa
Iye

Mi mwenzenu tena basi
Oh, mapenzi sitaki
Oh, mwenzenu tena basi
Basi
Sitaki
Mi mwenzenu tena basi
Oh, mapenzi sitaki
Oh, mwenzenu tena basi
Basi
Sitaki
Oh, nilishagombana na mama mzazi
Akataka nimwagia radhi
Sababu yule fulani
Yule wa moyo wangu
Yakaleta zengwe kwa kazi
Ugomvi wa Simba na panzi
Vurugu kwa majirani
Ah, e Mola yangu

Eh
Haya mapenzi bwana
Hayana maana
Yalinifanya mi nichekwe
Sababu yake nshagombana
Nikatukanwa
Lakini akanipiga teke
Aiih
Haya mapenzi bwana
Hayana maana
Yalinifanya mi nichekwe
Sababu yake nshagombana
Nikatukanwa
Iye
Mi mwenzenu tena basi
Oh, mapenzi sitaki
Oh, mwenzenu tena basi
Basi
Sitaki
Mi mwenzenu tena basi
Oh, mapenzi sitaki
Oh, mwenzenu tena basi
Basi
Sitaki