CORRECT LYRICS

Lyrics : Mchepuko

Unapoelekea mchepuko, wangu unanichosha Mwenzenu
Kumliza liza mke wangu jamani unanichosha mwenzenu
Hata kama niko na wewe kimwana
Utulivu unatakiwa
Mini bado nina mwenyewe kimwana
Utulivu unatakiwa

Unamrusha roho, kwanini
Unamtambia amekosa nini
Unaharibu hivyo, nyumbani
Ananililia kila siku mimi

Na unajua, kumuacha siwezi, kanizalia watoto mwenzako
Punguza kujishaua, unaharibu kichizi
Unanipa changamoto, mwenzako aah

Unamvilia mini, akivaa dera
Nachenjigi mawigi hata kama sijakupa hela
Wewe una iphone, mwenzako ana motorola
Unashindana na gigy kwenye mabendi kutunza hela
Vibaya hivyo

Mchepuko, mchepuko
Unamlisz mke wango
Mchepuko, mchepuko
Unamlisz mke wango

Ninakupa mapesa, unaniita sponsor
Unaniongopea, unanikosea
Tatizao hiko kishepu na kisura chako
Ndo kinanipa mawazo mwenzako
Nashindwa kukuacha mwenzako
Wowowo nitafilisika juu yako mchepuko

Unamvilia mini, akivaa dera
Nachenjigi mawigi hata kama sijakupa hela
Wewe una iphone, mwenzako ana motorola
Unashindana na gigy kwenye mabendi kutunza hela
Vibaya hivyo

Mchepuko, mchepuko
Hebu punguza mbwembwe, punguza mbwembwe
Unamlisz mke wango
Usije kuchezea vikombe
Mchepuko, mchepuko
We mchepuko
Unamlisz mke wango

Anakujua, anakujua
Navyomjua mama watotot atakufanyizia siku moja
Anakujua, anakujua
Anakujua, anakujua
Navyomjua mama watotot atakufanyizia
Anakujua, anakujua
Navyomjua mama watotot atakufanyizia