CORRECTAR LA LETRA

Letra : Huku

Iyo,iyo iyo
Iyo,iyo iyo
Sho, Madjozi

Kwani unataka Madjozi ade ama nini
Niahiambe aliki
Mbona mwataka nasema napenda lakini
Yeye haniambii
Haweza akashindwa kifungo ata mia mbili
Ela hanipigii, hivi nasema itabidi ongee ana mimi
Kini hanisikii

Kusubiri mimi kweli sitaweza
Unanifeeli, keniwezi kunionyesha
Sasa mimi nikihisi unanipenda
Hukuniambia na ndio maana nilienda

Hukuniambia, huku hukuniambia (Huku)
Niambia, huku hukunambia
Niambia, huku hukunambia (Huku)
Niambia, huku hukunambia
Hukuniambia kwamba wewe unanipenda
Hukuniambia huku huku
Hukuniambia kwamba wewe utaniweza
Hukuniambia huku huku
[Post Chorus]
Huku huku, (Huku)
Huku huku, Huku
Huku huku, (Huku)
Huku huku, Huku
Huku huku, (Huku)
Huku huku, Huku

Sasa ukiniona na watu unakasirika, roho inakunjika
Usiku uliniona natembea na arayika
Kini hukuniita mpaka nyumbani umenitumia?
Aje akipa kini hukunalika
Wasa wanasema nionyeshe uacha kutificha
Ni lakuni hambiaa

Kusubiri mimi kweli sitaweza
Unanifeeli, keniwezi kunionyesha
Sasa mimi nikihisi unanipenda
Hukuniambia na ndio maana nilienda

Hukuniambia, huku hukuniambia (Huku)
Niambia, huku hukunambia
Niambia, huku hukunambia (Huku)
Niambia, huku hukunambia
Hukuniambia kwamba we unanipenda
Hukuniambia huku huku
Hukuniambia kwamba wewe utaniweza
Hukuniambia huku huku
[Post Chorus]
Huku huku, (Huku)
Huku huku, Huku
Huku huku, (Huku)
Huku huku, Huku
Huku huku, (Huku)
Huku huku, Huku

Sho, Huku huku
Huku huku, Huku
Aish, Sho!