CORRECT LYRICS
Lyrics : Hakuna Kulala
La
Lalalala la la, la la la la
Mmmmh
Namvuta faraghani
Tunatubu tubu ndani
Namtazama simwishi
Namkanda ma mbavuni
Nitayainua majeshi
Vita nichague mimi
Aanze Bangladeshi
Amalizie Sudani
la la la lalala ooooh, aah aah
Twanozana hatosheki
Kaniweka kifuani
Hatingishiki haruki
Yu watwabani
Nampa na vya kuridhi
Na vizungu vya kigeni
Hakuna kulala, hakuna kulala, hakuna kulala
Asubuhi itukute
Hakuna kulala, hakuna kulala, hakuna kulala
Na machwewe yatukute
Mmmh siwezi kuficha hisia
Maradhi yataniungua
Ni zimwi nalolijua
Kanila kanimalizia
Mbora katimiliki
Kwapa si za race race
Hapitagi njia fupi
Shosti kati ye za nini
Nampa na vya kuridhi
Na vizungu vya kigeni
Hakuna kulala, hakuna kulala, hakuna kulala
Asubuhi itukute
Hakuna kulala, hakuna kulala, hakuna kulala
Na machwewe yatukute
Ladha yako, ladha yako
Ladha yako, Ladha yako ni tamu
Tamu sana
Lalalala la la, la la la la
Mmmmh
Namvuta faraghani
Tunatubu tubu ndani
Namtazama simwishi
Namkanda ma mbavuni
Nitayainua majeshi
Vita nichague mimi
Aanze Bangladeshi
Amalizie Sudani
la la la lalala ooooh, aah aah
Twanozana hatosheki
Kaniweka kifuani
Hatingishiki haruki
Yu watwabani
Nampa na vya kuridhi
Na vizungu vya kigeni
Hakuna kulala, hakuna kulala, hakuna kulala
Asubuhi itukute
Hakuna kulala, hakuna kulala, hakuna kulala
Na machwewe yatukute
Mmmh siwezi kuficha hisia
Maradhi yataniungua
Ni zimwi nalolijua
Kanila kanimalizia
Mbora katimiliki
Kwapa si za race race
Hapitagi njia fupi
Shosti kati ye za nini
Nampa na vya kuridhi
Na vizungu vya kigeni
Hakuna kulala, hakuna kulala, hakuna kulala
Asubuhi itukute
Hakuna kulala, hakuna kulala, hakuna kulala
Na machwewe yatukute
Ladha yako, ladha yako
Ladha yako, Ladha yako ni tamu
Tamu sana