CORRECT LYRICS

Lyrics : Tanzania Nakupenda Kwa Moyo Wote

Tanzania, Tanzania!
Nakupenda kwa moyo wote
Nchi yangu, Tanzania
Jina lako ni tamu sana
Nilalapo nakuota wewe
Niamkapo ni heri mama wee
Tanzania, Tanzania!
Nakupenda kwa moyo wote

Tanzania, Tanzania!
𝘛𝘢𝘯𝘻𝘢𝘯𝘪𝘢!
Ninapokwenda safarini
Kutazama maajabu
𝘔𝘢𝘢𝘫𝘢𝘣𝘶...
Biashara nayo makazi
Sitaweza kusahau mimi
𝘬𝘶𝘴𝘢𝘩𝘢𝘶 𝘮𝘪𝘮𝘪
Biashara nayo makazi
Tanzania, Tanzania!
Nakupenda kwa moyo wote

Tanzania, Tanzania!
Nakupenda kwa moyo wote
𝘛𝘢𝘯𝘻𝘢𝘯𝘪𝘢! 𝘛𝘢𝘯𝘻𝘢𝘯𝘪𝘢!
Nchi yangu, Tanzania
Jina lako ni tamu sana
𝘛𝘢𝘯𝘻𝘢𝘯𝘪𝘢!
Nilalapo nakuota wewe
𝘸𝘦𝘸𝘦
Niamkapo ni heri mama wee
Tanzania, Tanzania!
Nakupenda kwa moyo wote
Nakupenda kwa moyo wote!