CORRECT LYRICS

Lyrics : Watoto na pombe

Aaah aah... Aaah aah
Aaah aah... Aaah aah

Ooh bizee napiga hela kama benki
Wanapiga swagga ila haiketi
Looku sipigi hutopata navaa feki
Leo Gucci au Prada
Pengine glasi za [?]




(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});

Nasema zaidi ya Donna na Tanasha
Simba wenu manyasi menu hai
Sinaga nyama sishoboki
Hata ngoma zikiuma

Still Sipendi mazoea
Hata ukinichekea,..

Baby [?] nkujumuike nasi
Kama hata kinywaji acha wasi wasi
Kama Tinga linazima ita Taxi
And it's all on me
Bado nasoma namba
Mi naye watoto ni darasa
Guza selfie nitakukacha



(adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({});


Watoto na pombe, watoto na pombe
Watoto na pombe,nilichofuata ni
Watoto na pombe, watoto na pombe
Pombe, watoto na pombe

Pombe... (aaaaaah) totoza
Pombe... (aaaaaah) totoza

Wananiita Sultan huku ghetto
Njoo nikuonyeshe maisha ya Majengo
Tupitie Mpambe tule wali
Twende Pangani tuchane majani
Aah naona umevaa mini
Na unashinda ukiivuta vuta chini
Ni hio haga inainua sio siri
Samahani ni macho sio mimi
Tumefika humu ndani ya giza
Usijali bei nitalipa
Kidogo msupa akaitisha
Nikasikia ameitisha King Fisher
Eey if you know you know (You know)
King Fisher panty remo- aiii
Manze ni leo, leo ndio leo
Kwa nyundo leo watoto na vileo

Baby [?] nkujumuike nasi
Kama hata kinywaji acha wasi wasi
Kama Tinga linazima ita Taxi
And it's all on me
Bado nasoma namba
Mi naye watoto ni darasa
Guza selfie nitakukacha

Watoto na pombe, watoto na pombe
Watoto na pombe, nilichofuata ni
Watoto na pombe, watoto na pombe
Pombe, watoto na pombe

Pombe...(aaaaaah) totoza
Pombe...(aaaaaah) totosha

Na iwake,
Whiskey River na Kisa
B Club, Golden Ice
Na iwake
Ooh ni starter pass
Plug na seven D

Na iwake,
Whiskey River na Kisa
B Club, Golden Ice
Na iwake
Ooh ni starter pass
Plug na seven D
Na iwake,

Na Milan pia
Njuguna's na ka local pub
Kwa mama Esther I see you
Moraa..