CORRECT LYRICS
Lyrics : Waah
Anachukua anaweka Waah!
Anachukua anaweka Waah!
Anachukua anaweka Waah!
Anachukua anaweka Waah!
Kaghamu kupendwa na
Kaghamu nasikia
Tamu kupendwa nawe
Tamu kupendwa nawe, tamu
Tamu kupendwa nawe
Oh maneno maneno, tumeyazoea
Vijineno neno, tushazoea
Wapenzi wangu ku-party
Kwani ninawahusu
Shepu yake mbaya, hivi inawahusu
Udangaji umalaya, wao inawahusu nini
Wamegusa pabaya na mwaka huu
Lazima wachuchumae
Wameingia cha kike
Cha kike
Wameingia cha kike
Cha cha kike
Anachukua anaweka Waah!
Anachukua anaweka Waah!
Anachukua anaweka Waah!
Kaghamu kupendwa na
Kaghamu nasikia
Tamu kupendwa nawe
Tamu kupendwa nawe, tamu
Tamu kupendwa nawe
Oh maneno maneno, tumeyazoea
Vijineno neno, tushazoea
Wapenzi wangu ku-party
Kwani ninawahusu
Shepu yake mbaya, hivi inawahusu
Udangaji umalaya, wao inawahusu nini
Wamegusa pabaya na mwaka huu
Lazima wachuchumae
Wameingia cha kike
Cha kike
Wameingia cha kike
Cha cha kike