AJOUTER PAROLES
Top 100
Sorties d'albums
artistes
Communauté
Espagnol
Portuguais
Anglais
Correction Paroles
Salima
par
Diamond Platnumz
Retour
Paroles
Je je je, ah The VOA Tuddy Thomas Wasafi... Salima, Salima, oh Najua maisha yako Yaliyumba pale ulipo wapoteza Wazazi wako Yule Salima wa jana Sio Salima wa leo Amekua wa kujinania Na kujikata tamaa Iko wapi furaha yake Alivyokuwa nayo mwanzo Iko wapi furaha yake Alivyokuwa nayo mwanzo Salima nakusanze kasuru Kagonga wekuye tenga tinyanya Salima chenisange nguya Yena nasoma nawe mwengee Salima mi ni sange yule yule Milie soma nawe Mwenge Zimeyayuka ndoto zako Ulizo kuwa nazo Salima (Oh, Salima) Mie mwenzako nakupenda (Oh, Salima) Mie nataka niwe wako (Oh, Salima) Tuwe na wana tujejenga (Oh, Salima) Niwe baba wa watoto (Oh, Salima) Mie mwenzako nakupenda (Oh, Salima) Mie nataka niwe wako (Oh, Salima) Tuwe na wana tujejenga (Oh, Salima) Niwe baba wa watoto (Salima) Naomba hiyo bahati Ya kuishi nawe Idondokee kwangu Isiende kwa mwingine Yasije kuwa kama yale Ya mla nawe hafi nawe Yasije kuwa kama yale Mla nawe hafi nawe Usijikate tamaa Kuna wengi wana shida kuliko zako Salima Wanaamini kupitia yule msemo Wa ridhiki hapo mbinguni kwake Wanaamini kupitia yule msemo Wa ridhiki mafungu saba Salima, oh (Oh, Salima) Mie mwenzako nakupenda (Oh, Salima) Mie nataka niwe wako (Oh, Salima) Tuwe na wana tujejenga (Oh, Salima) Niwe baba wa watoto (Oh, Salima) Mie mwenzako nakupenda (Oh, Salima) Mie nataka niwe wako (moyo wangu mama) (Oh, Salima) Tuwe na wana tujejenga (oh, mama) (Oh, Salima) Niwe baba wa watoto (Salima) Moyo unatamani Yaani kuwa kitabu ufungue (ufungue) Usione jinsi gani Unavyonifanya niugue Eh Zenda huri nana Uwawish Uwawi nashisee Mpaka kuherera baba Utungamizi Japo niulimishe Utamu Utamu moyo wangu mi kupendwa nawe Utamu Sa nini tatizo mami basi sema nielewe Ah, Salima, oh oh (oh aye) Salima, eh eh (oh aye) Salima, oh oh (oh aye) Salima, eh eh eh (Oh, Salima) Mie mwenzako nakupenda (nakupenda sana) (Oh, Salima) Mie nataka niwe wako (Oh, Salima) Tuwe na wana tujejenga (Oh, Salima) Niwe baba wa watoto (mama) (Oh, Salima) Mie mwenzako nakupenda (oh oh) (Oh, Salima) Mie nataka niwe wako (moyo wangu mama) (Oh, Salima) Tuwe na wana tujejenga (oh, mama) (Oh, Salima) Niwe baba wa watoto (Salima) I feel that I'm in love with you I feel that my life is you I feel that you're the only one I need I'm gonna trust Baby, I'm not perfect but I'm going my all the way And I just want to be with you Me and you, forever and ever (Oh, Salima) Mie mwenzako nakupenda (Oh, Salima) Mie nataka niwe wako (Oh, Salima) Tuwe na wana tujejenga (Oh, Salima) Niwe baba wa watoto (Oh, Salima) Mie mwenzako nakupenda (Oh, Salima) Mie nataka niwe wako (Oh, Salima) Tuwe na wana tujejenga (Oh, Salima) Niwe baba wa watoto (Salima) Wako watoto kedekede Na watoto kedekede Shemeji mchange Wandese atanisaidia (Salima, Salima, Salima)
clip
Ton pseudo sera publié. Laisses les champs vide pour rester anonyme.
Soumettre
Modal title
×
Ajouter un média
Video URL?
(YouTube, Vimeo, Instagram, DailyMotion, Soundcloud)
×
Se souvenir de moi
Mot passe oublié
Connectes-toi
M'inscrire