CORRECTAR LA LETRA

Letra : Leila

Oooh yeah
Aah aah yeiyeee
Alright

Anaitaka hapati
Alijaliwa kidhamini
Yeiyei yeiyee mmmh

Hakika mwana akipenda kweli
Atapigana vita vingi
Aibu sio penzi
Hivyo unampendea nini
Wakati kila kutwa anakuliza
Unang'ang'ania nini
Ni zaidi ya heri sivuti
Wanaume wengi ni kama [?]
Hawamaanishi wasemacho
Ni waongo hawafai
If I was your lover
Ningedhamini penzi lako
Style bora
Mwanamke anahitaji matunzo

Leila, Leila
Ungekuwa wangu ningekupenda ipasavyo
Leila, Leila
Ungekuwa wangu ningekupenda ipasavyo

Changu chako, chako changu mi nawe, na wewe
Tena niacha utoto, kutwa kucha machangu, nikuoe
Nitakuwa shujaa wako [M] nitaliwaza [?] mama
Ukinihitaji mama, nipigie simu yangu

Nitakuwa shujaa wako mama
Nitaliwaza mama
Nitakufariji mama
Nipigie simu yangu

Nitakuwa shujaa wako mama
Nitaliwaza mama
Nitakufariji mama
Nipigie simu yangu

If I was your lover
Ningedhamini penzi lako
Style bora
Mwanamke anahitaji matunzo

Leila, Leila
Ungekuwa wangu ningekupenda ipasavyo
Leila, Leila
Ungekuwa wangu ningekupenda ipasavyo
Leila, Leila
Ungekuwa wangu ningekupenda ipasavyo

If I was with you Leila
If I was with you Leila
If I was with you Leila
si j'etais avec toi ?
If I was with you Leila

Ningekupenda ipasavyo my beiby
Si c'etait moi ?