ENVIAR LETRAS
Top 100
Lanzamientos de álbumes
Artistas
Comunidade
Francés
Portuguese
Inglés
Corrección Letra
Simu
par
Goodluck Gozbert
Regreso
Letra
[Verse One] Hello Baba ni mimi mwanao Hii namba nimechukua Jeremiah hapa Inasema niite nitakuitikia Nitakuonyeshe magumu usiyo yajua mwanangu Ya leo simu yangu hii Napiga kwa imani tu Nakuomba sikiliza Daddy Naumia moyoni Unaweza tunusuru na hili na hili Manabii wale Baba ungewaambia kuna Corona Au tunadanganywa ni bandia wanaonaga Je umekaa kimya ukitazama wanayofanya (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Mbona mwaka jana walituambia Huu ni mwaka wa Bwana Tumekaa mwaka ulianza shwari Sasa hivi hatuelewi Kila saa alama ya hatari Ni mbaya habari Wamekufa saba, walikufa sita Mara ooh mnadanganywa wamefika kumi Chorus Mmmh acha ni sanitize Ooh barakoa kidogo, nisishike pua Mmmh acha ni sanitize Ooh barakoa kidogo, nisishike macho… (adsbygoogle = window.adsbygoogle || []).push({}); Wakati nasubiri iii… [Verse Two] Heri matajiri tajiri Wanaweza kununua mask Wengine hizo pesa Ndo tunategemea tule Mama mama, ah muda wote ni presha Maana watoto wake maisha ndo wanatafuta Kwa siku kupata kwa siku tumezoea Hatuna maisha kabisa ya akiba Usipotuhurumia wewe ndo tumekwisha Usipotuhurumia wewe ndo tumekwisha Niliongea na waombaji Nikawaambia tusiache kuongea Maana adui ametumia mabaya mmh Mi nakuamimi kuamini Baba Mi nakuamimi mi kuamini [Chorus] Mmmh acha ni sanitize Ooh barakoa kidogo, nisishike pua Mmmh acha ni sanitize Mmmh barakoa kidogo, nisishike macho… Wakati nasubiri iii… Wacha ni sanitize (Asante)
videoclip
Tu nombre será publicado. Deje los campos en blanco para permanecer en el anonimato.
Enviar
Modal title
×
Insertar medios
Video URL?
(YouTube, Vimeo, Instagram, DailyMotion, Soundcloud)
×
Recuérdame
Contraseña perdida
Conectarte
Registrarse