ENVIAR LETRAS
Top 100
Lanzamientos de álbumes
Artistas
Comunidade
Francés
Portuguese
Inglés
Corrección Letra
Nitarejea
par
Diamond Platnumz
Regreso
Letra
Ah ah ah... Vipi mizigo umeshaweka tayari Mmmh, ah ah Sijechelewa nkaachwa na gari Mmmh, ah ah Basi jikaze usilie mpenzi Ah ah ah Mi nitarudi niombee kwa mwenyezi Ah ah ah Zile taabu na njaa Msimu mzima mavuno hakuna Huwa nakosa raha Pale mkikosa cha kutafuna Roho yangu inauma Sema ntafanya nini Na pesa sina Nakuonea na huruma Bora niende mjini Kusaka tumaa Kama watoto wakinililia (kama) Waambie kesho nitarejea (nitarejea mama) Wadanganye na vibagia (wadanganye) Waambie pipi ntawaletea (ntawaletea mama) Kama watoto wakinililia (kama) Waambie kesho nitarejea (nitarejea mama) Nawe usichoke kuvumilia (usichoke) Na kila siku kuniombea (nirude salama) Wanajua kwamba nafsi na roho Vitakuwa na wasiwasi... Ukumbuke na moyo Utajawa na simanzi... Ntakapokuwa nakwenda shambani Afu niko peke yangu honey Ntapokuja kuwa na majirani nitaumia Ah ah ah... Pale napotoka kisimani (ah ah) Ama nipo na kuni kichwani (ah ah) Sina wakunitua nyumbani nitalia Maneno yako yananfanya nakosa raha Na mawazo Hata mwenzako sijawahi kufika Dar Huu ndio mwanzo Vile nakwenda na sijui pa kukaa Wala mavasi, oh oh We niombee niepushwe na balaa Na maradhi, oh oh Eh eh Kama watoto wakinililia (kama) Waambie kesho nitarejea (nitarejea mama) Wadanganye na vibagia (wadanganye) Waambie pipi ntawaletea (ntawaletea mama) Kama watoto wakinililia (kama) Waambie kesho nitarejea (nitarejea mama) Nawe usichoke kuvumilia (usichoke) Na kila siku kuniombea (nirude salama) Unapokwenda kama ukifika salama Utukumbuke na sisi Usisahau kama mkeo na wana Umetuacha na dhiki Vile usijali ila naomba chunga sana Ogopa na marafiki Wakikulaghai hata kwa mbegu za mtama Waambie sidanganyiki Unapokwenda kama ukifika salama Utukumbuke na sisi Usisahau kama mkeo na wana Umetuacha na dhiki Vile usijali ila naomba chunga sana Ogopa na marafiki Wakikulaghai hata kwa mbegu za mtama Waambie sidanganyiki Eh eh Nitrarejea mama Niombee nirude salama Oh, watoto wadanganye Hii... Ooh ooh ooh, oh oh Tusale Usijali Hmm, kama... Kama watoto wakinililia (kama) Waambie kesho nitarejea (nitarejea mama) Wadanganye na vibagia (wadanganye) Waambie pipi ntawaletea (ntawaletea mama) Kama watoto wakinililia (kama) Waambie kesho nitarejea (nitarejea mama) Nawe usichoke kuvumilia (usichoke) Na kila siku kuniombea (nirude salama)
videoclip
Tu nombre será publicado. Deje los campos en blanco para permanecer en el anonimato.
Enviar
Modal title
×
Insertar medios
Video URL?
(YouTube, Vimeo, Instagram, DailyMotion, Soundcloud)
×
Recuérdame
Contraseña perdida
Conectarte
Registrarse