ENVIAR LETRAS
Top 100
Lançamentos de álbuns
Artistas
Comunidade
francês
Espanhol
Português
corrija a letra Letra
Naringa
por
Zuchu
Retornar
Letra
Sing mmmhh eeeehh Let sing, comeon eeh Sioni aibu, kwa kila linalonifika Mana kukosea ni wajibu Mola ameshaandika Na sianguuki, mimi nimechaguliwa Nnae mtegemea hachooki Hajawahi kupitiwa Mnavyotuma viniue, ndo vinanikuza Vinanipa ujasiri Nakua gado kamili Ukitaka kunidhuru mie Upite kwakwe kwanza Mungu wangu halali Ana ulinzi mkali Na ndio mana naringa naringa naringa naringa naringa Nalindwa na mungu Msinione navimba navimba navimba navimba navimba Nalindwa na mungu Raise your glass Cheers to the Lord Roho mbaya ubinafsi hajaumbiwa nyungunyungu Wala mtu mwenye maarifa Kweli mabaya sikosi, najua mazuri yangu Mtayasema nikifa aaeh Unaniona napamdana, kwa tabu na dhoruba Nilinde virogo vya walimwengu visinifike ng'o Utadhani wao hawana, umewapa vikubwa Ila bado hiki kidogo changu kinawatoa rohoo He Na sianguuuki mimi nimechaguliwa aahh Nnae mtegemea hachooki Hajawahi kupitiwa Mnavyotuma viniue, ndo vinanikuza Vinanipa ujasiri Nakua gado kamili Ukitaka kunidhuru mie Upite kwakwe kwanza Mungu wangu halali Ana ulinzi mkali Na ndio mana naringa naringa naringa naringa naringa Nalindwa na mungu Msinione navimba navimba navimba navimba navimba Nalindwa na mungu
vídeo de música
Seu nome será publicado. Deixe os campos em branco para permanecer anônimo.
Enviar
Modal title
×
Adicionar mídia
Video URL?
(YouTube, Vimeo, Instagram, DailyMotion, Soundcloud)
×
Lembre de mim
Senha perdida
Entrar
Registrarse