CORRECT LYRICS

Lyrics : Jambo

[Ziggy Marley]
Hey, this is a song from Kenya
In the language of Swahili from Africa
Hello mister, hello sister
No problem, no worries
Oh, yeah!

Jambo, jambo bwana
Habari gani? Mzuri sana
Wageni, mwakaribishwa
Nyumba yetu, hakuna matata

Jambo, jambo bwana
Habari gani? Mzuri sana
Wageni, mwakaribishwa
Nyumba yetu, hakuna matata

[Ziggy Marley & Angélique Kidjo]
Tujenge pamoja, hakuna matata
Amani kwa dunia, hakuna matata
Uhuru na undugu, hakuna matata
Afya na shupavu, hakuna matata
Harambe sawa sawa, hakuna matata

Jambo, jambo dada
Habari gani? Mzuri sana
Wageni, mwakaribishwa
Nyumba yetu, hakuna matata

Jambo, jambo dada
Habari gani? Mzuri sana
Wageni, mwakaribishwa
Nyumba yetu, hakuna matata

[Ziggy Marley & Angélique Kidjo]
Vile nakupenda, hakuna matata
Kila siku ubarikiwe, hakuna matata
Sasa watu wetu wote, hakuna matata
Furaha na baraha, hakuna matata
Hakuna matata, hakuna matata

Jambo, jambo bwana
Habari gani? Mzuri sana
Wageni, mwakaribishwa
Nyumba yetu, hakuna matata
Jambo, jambo dada
Habari gani? Mzuri sana
Wageni, mwakaribishwa
Nyumba yetu, hakuna matata

[Ziggy Marley & Angélique Kidjo]
Tujenge pamoja, hakuna matata
Amani kwa dunia, hakuna matata
Uhuru na undugu, hakuna matata
Afya na shupavu, hakuna matata
Harambe sawa sawa, hakuna matata
Vile nakupenda, hakuna matata
Kila siku ubarikiwe, hakuna matata
Sasa watu wetu wote, hakuna matata
Furaha na baraha, hakuna matata
Hakuna matata, hakuna matata

[Angélique Kidjo & Both]
Tujenge pamoja, hakuna matata
Amani kwa dunia, hakuna matata
Uhuru na undugu, hakuna matata
Afya na shupavu, hakuna matata
Harambe sawa sawa, hakuna matata
Vile nakupenda, hakuna matata
Kila siku ubarikiwe, hakuna matata
Sasa watu wetu wote, hakuna matata
Furaha na baraha, hakuna matata
Hakuna matata, hakuna matata