CORRECT LYRICS

Lyrics : Fresh Azimiz Remix

Verses
Nilipokuwa 8 age niliwaza mambo Mingi sana
Hata nisoyaweza nkajiwaza one day bwana
Kila kitu Prayers utayari juu na kuKazana
Hata nilipofall nilinyanyuka Na kutry tena

Haikuwa easy, kufanya track mingi na usiku ukichezwa wanakuskiza walinzi
I started my bussy, ili nifanye ya msingi effort online so ndo lugha ya siku izi
Nashangaza machizi, kwa plays za UG, mafans wako million enda check howwe biz
Wanagwaya Kichizi, Neezy son wa Wizzy, Maziko nnazofanya bei mbaya no machozi

Icon wa vijana nawainspire mpaka foreign
Narap mainjili hata baraka hunifata Amen
Howard billionaire big ka empire ya Roman
Kuna wakubisha hii??? Mmmh! No man

Sing
Niko unique mno Siendi mahali that you goin'
Utarap ka mi ila huwezi kuwa mi man
Instead of kucheza utapoteza hata muda man
I'm telling you fact budda hujiwezi no joking

Giant, Independent still gettin' paid
You sick with my name I think you know why
Plug, nimeconnect every city i touch
You lack some ability huwezi identify

Chopping dem flow ila naifanya bora Zaidi yao
Girls dey be like wow! Neezy we ndo Baba yao
Banking dem mistari wacha nirudi kazi au sio
Niko Na dream Kubwa budda soma background ndio

Hata kama wakija group, sihitaji juwa ni wangapi
Trappers now ndo Wazushi, Kila wimbo zao stupid
Kila sound wanacopy, huezi jua yupi yupi
Viko million Na ngapi, enda hoji uncle snoop

Who told you we can't do like migos
Tunaeza fanya poa uliza Mex Cortez
Ama hutaki enda skiza Papa Jones
Category yetu yahitaji watu conscious

Break dem newz, goals ni kupata M viewers
Imani kwa veins, huoni serikali ya kazikazi
Ciara, rihanna brown waje buy barz
So bahati ya Bow Wow nitacome Ka chainz

My next 2 tape All CEO around
Watake sign aty wamependa Huncho Sound
I'm ndependent n***er but unique kwenye brand
Hooo guys pls get f**k outta my ground