AJOUTER PAROLES
Top 100
Sorties d'albums
artistes
Communauté
Espagnol
Portuguais
Anglais
Correction Paroles
Wanguvu
par
Khaligraph Jones
Retour
Paroles
Niko na gari nabebesha madrii (Oh madrii) Madem ni sare tunabeba for free (Oh for free) Maboy wang'are kaa huja tripa huingii Vee kuko shwari imebidi wameti Kaa zimekunice basi upige manduru (Manduru) Hizi baraka ni zote za Mungu (Za Mungu) Mali safi peng' lazima akuwe wa nguvu (Wa nguvu) Wa nguvu, juu mi ni msee wa nguvu(Wanguvu) Mi ndo huletanga vurugu (Vurugu) Na vile nawaroga chama ni juju S'jai kua mnyonge mimi ni sugu Na case hujaijua Omolo na Kiba uwanga mandugu (Jones) Niko na pesa na show mi nalipwa mita na nusu Compen pressure bado unajua wa***ipwa marupu Mashawry wameweza watoto bha kenya wote ni wasupu Bado tuko bongo na lazima mi nitapita na mtu Niko na gari nabebesha madrii (Oh madrii) Madem ni sare tunabeba for free (Oh for free) Maboy wang'are kaa huja tripa huingii Vee kuko shwari imebidi wameti Kaa zimekunice basi upige manduru (Manduru) Hizi baraka ni zote za Mungu (Za Mungu) Mali safi peng' lazima akuwe wa nguvu (Wa nguvu) Wa nguvu, juu mi ni msee wa nguvu(Wanguvu) Chap chap, money chap chap now You carе me more, you make it clap clap clap Na umеnivalia, guch ya gistrii Girl I'm not yours to that you kill me (Ayy) Now sasa tupa (Tupa) Kiuno tupa (Tupa) Show them you can tupa (Tupa) Kiuno tupa (Tupa) Girl unanibamba sana Oh my girl unanibamba sana Niko na gari nabebesha madrii (Oh madrii) Madem ni sare tunabeba for free (Oh for free) Maboy wang'are kaa huja tripa huingii Vee kuko shwari imebidi wameti Kaa zimekunice basi upige manduru (Manduru) Hizi baraka ni zote za Mungu (Za Mungu) Mali safi peng' lazima akuwe wa nguvu (Wa nguvu) Wa nguvu, juu mi ni msee wa nguvu(Wanguvu) Ah, mi ni msee wa nguvu, msee wa power Ndo kuwe dis ai piga tei na dawa? (Ati tei na dawa?) Yay, dawa na tei Makarao kwa milango battle wana say Wanataka kujua kama natumianga madrei Lead kila siku ni ka nimepandanga bei Nipate zaba juu ya shisha mitishamba napraise Na kila siku ni mazishi mi hulala kwa grave Nilikuwa na Kiba tuko pande za Dodoma tunanice kwa sherehe tunamalizia Dar-Es-Salaam Mali safi ka ni safi hakuna haja ya intro Najitokeza nikisema, "habari madam" Anataka kujua ka nimejipin mi nasema, "yes bwana" Na si eti nimekali magan Anajua kunifanya ile kitu Na kila mi hutaka kwenda yufanya kalia koo Niko na gari nabebesha madrii (Oh madrii) Madem ni sare tunabeba for free (Oh for free) Maboy wang'are kaa huja tripa huingii Vee kuko shwari imebidi wameti Kaa zimekunice basi upige manduru (Manduru) Hizi baraka ni zote za Mungu (Za Mungu) Mali safi peng' lazima akuwe wa nguvu (Wa nguvu) Wa nguvu, juu mi ni msee wa nguvu(Wanguvu)
clip
Ton pseudo sera publié. Laisses les champs vide pour rester anonyme.
Soumettre
Modal title
×
Ajouter un média
Video URL?
(YouTube, Vimeo, Instagram, DailyMotion, Soundcloud)
×
Se souvenir de moi
Mot passe oublié
Connectes-toi
M'inscrire